Rupie ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani

Rupie moja ya 1904
Rupia 1, upande wa nyuma; picha ya kaisari Wilhelm II (maandishi ya Kilatini: Guilelmus II Imperator)

Rupia ya Afrika Mashariki ya Ujerumani ilikuwa pesa rasmi ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kati ya 1890 na 1916 ikatumika katika Tanganyika hadi 1920.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy